- 3,461 views
Idara ya utabiri wa hali ya anga nchini imetoa tahadhari ya upepo mkali na kimbunga kwa watu wanaoishi maeneo ya Pwani ya Kenya kuanzia leo hadi jumatatu ijayo. Kwa mujibu wa idara hii, eneo la mwambao wa pwani litashuhudia mawimbi mazito baharini, kwenye hali iliyochangiwa na kimbunga kinachofahamika kama Hidaya ambacho kimeanza kushuhudiwa katika visiwa vya Comoros. Kimbunga hicho kinatarajiwa kuongeza maradufu viwango vya mvua. Aidha, Katika muda wa saa 24, maeneo kama Ziwa Victoria, Bonde la ufa, magharibi na mashariki mwa nyanda za juu za bonde la ufa pamoja na Nairobi zitashuhudia makali ya hali ya hewa kuanzia leo hadi tarehe tano mwezi huu. Mvua kubwa zinatarajiwa kuathiri kaunti arobaini na mbili nchini. Sasa Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari kutokana na kushuhudiwa kwa mafuriko ya ghafla na hata ukungu kushuhudiwa maeneo mengine na kutatiza watu kuona. Taarifa hii imewasilishwa kwa Rais, baraza la mawaziri pamoja na idara zinazohusika na masuala ya mazingira, misitu na majanga.
Kimbunga Hidaya kushuhudiwa mwambao wa Pwani
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 17 May 2024 - A vaunted 'new era' of strategic partnership between Russian President Vladimir Putin and his counterpart Xi Jinping begun in Beijing on Thursday may not exactly have been sealed with a kiss, but it did lead to rare hugs between them.
- 17 May 2024 - Approximately 200 Kenyan police officers will be deployed to Haiti next week as part of the UN Security Council-backed security mission to Port-au-Prince.
- 17 May 2024 - Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
- 17 May 2024 - The exits of these companies pose great financial implications for the job market.
- 17 May 2024 - The governor was given 7 days to issue clarity on the matter that has been greatly opposed by a section of Nairobi residents.
- 17 May 2024 - Driving a repaired written-off vehicle poses risks to the drivers.
- 17 May 2024 - The officers are part of a team selected from the regular and Administration Police.
- 17 May 2024 - Parliament has raised the red flag over alleged massive graft in the issuance of capitation funds to Junior Secondary Schools (JSS) across the country.
- 17 May 2024 - Following the success of the first three editions, TotalEnergies is now holding another Startupper of the Year Challenge.
- 17 May 2024 - National Assembly Finance Committee Chairman and Molo MP Kuria Kimani has shed light on the rationale behind the Treasury's proposal to introduce a 16% Value Added Tax (VAT) on bread.