- 37 views
Familia zilizoathirika na mafuriko katika maeneo ya mumbuni, mutituni na Machakos ya kati zimepata msaada wa chakula na vifaa vingine kutoka kwa serikali ya kaunti ya Machakos. Viongozi wa Azimio waliokuwepo katika hafla hiyo iliyofanyika katika shule ya msingi ya mumbuni hata hivyo wamemtaka rais William Ruto kutangangaza athari ya mafuriko kama janga la kitaifa. Kufikia sasa ni watu ishirini walioangamia kutokana na mafuriko huku zaidi ya familia 25, 000 zikisalia bila makao kaunti hiyo.
Kalonzo aitaka serikali itangaze mafuriko kama janga la taifa
- 17 May 2024 - A vaunted 'new era' of strategic partnership between Russian President Vladimir Putin and his counterpart Xi Jinping begun in Beijing on Thursday may not exactly have been sealed with a kiss, but it did lead to rare hugs between them.
- 17 May 2024 - Approximately 200 Kenyan police officers will be deployed to Haiti next week as part of the UN Security Council-backed security mission to Port-au-Prince.
- 17 May 2024 - Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
- 17 May 2024 - The exits of these companies pose great financial implications for the job market.
- 17 May 2024 - He urged the people of Mt Kenya to unite and support one of their own.
- 17 May 2024 - The governor was given 7 days to issue clarity on the matter that has been greatly opposed by a section of Nairobi residents.
- 17 May 2024 - Two deaths came from fallen trees and one from a crane blown over.
- 17 May 2024 - "I'm with Kenyans, the Kenyans movement. We are in the streets," he said.
- 17 May 2024 - It was constructed and equipped at a cost of Sh1.06 billion.
- 17 May 2024 - Say they learned about the conference through media publications