Familia ya Brigadia Jenerali Said Nzaro Swaleh inaomboleza huko Kilifi

  • | Citizen TV
    1,484 views

    Familia ya Brigadia Said Nzaro Swaleh inaomboleza huku swaleh akipangiwa kuzikwa kadzengo huko kanamai kaunti ya kilifi. Patrick Kanga yuko nyumbani kwao utange ambako familia, na viongozi wamejumuika wakisubiri mwili ya marehemu na kisha kufanya ibada fupi kabla ya kusafirisha mwili hadi Kilifi.