Wawakilishi wadi wazozana kuhusu kumbandua katibu wa kaunti ya Nakuru

  • | K24 Video
    6 views

    Kizaazaa kilishuhudiwa katika bunge la kaunti ya Nakuru baada ya makundi mawili ya wawakilishi wadi kupapurana kuhusu kubanduliwa mamlakani kwa katibu wa kaunti Dkt Samuel Mwaura hata hivyo katibu huyo ataendelea na kazi baada ya wawakilishi wadi 67 kutokubaliana na mpango wa kuandaa kamati ya kumchunguza.